Pekua/search

Friday, June 6, 2008

WARIOBA NDANI YA SULLIVAN: ALIWAPASHA WAWEKWEZAJI


Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba akiwa kwenye mjadala ukumbi wa Tausi, siku ya Kwanza ya Mkutano wa Sullivan. Warioba aliwapasha wawekezaji wa kigeni kuwa walikuwa hawajatimiza ipasavyo wajibu wao wa kijamii (CSR) licha ya kuwa wamekuwa wakidai kupatiwa vivutio viiiiingi (ambavyo hata wawekezaji wa ndani hawapewe, ikiwemo likizo ya kodi).Maneno yalinoga!!!!!

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP