Pekua/search

Tuesday, March 6, 2012

MGODI WA ALMASI MWADUI WAGUNDULIWA - hadi leo zaidi ya Karat milioni 20 zimeisha vunwa

Leo (Machi 6) katika Historia yetu 

Williamson mwenyewe

 Mwaka 1940 John T williamson Mkanada Mtaalam wa madini 'aligundua' ALMASI huko Mwadui shinyanga. alifariki miaka 18 baadaye na akazikwa huko huko Mwadui. Maisha ya huyu ndugu yanalo somo murua kujifunza.

Mgodi wa Mwadui unakadiriwa hadi kufikia mwaka 2008 kutoa Karati 20 million. Maswali mengine jiulize mwenyewe!!!


Soma zaidi kuhusu jamaa hawa HAPA

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP