Pekua/search

Wednesday, July 23, 2008

Simlilii Mzee Millinga. Najililia mwenyewe na Wanazuoni wenzangu.

Mpendwa Adam,

Asante kwa kuliangalia hili kwa mtazamo tofauti na wenye kutufikirisha. Ukweli ni kwamba tunadhani kuwa muda wote ni kwa ajili yetu na pia kwa ajili ya mambo yetu (yenye mantiki na hata yasiyo na mantiki).

Linalowezekana leo, lisingoje kesho.
Ngoja ngoja, utakuta mwana si wako.
Nadhani kuna haja ya kufukuzana na wakati katika kutekeleza wajibu wetu ili tusijeulizwa na kulaumiwa na watakaokuja baadaye kwa kushindwa kutimiza wajibu wetu.

'Inawezekana; nikianza kubadilika mimi'

Asubuhi njema.

KISINDA,Octavius Alex
P O Box 13547
Dar es Salaam
Tanzania,The United Republic
Mobile: +255 754 470 321


'..........of all the things, be yourself.'
----- Original Message ----From: lingson adam To: wanazuoni yahoogroups Sent: Thursday, July 17, 2008 3:06:38 PM

Simlilii Mzee Millinga.
Najililia mwenyewe na Wanazuoni wenzangu.
Amani Iwe Nanyi wenzangu kama yawezekana.
Ya kwangu imetoweka kidogo. Namaanisha Amani ya nafsini.

Nimesoma makala ya kamaradi Chambi hivi punde. Ndio maana moyo wangu sasa umegoma kumlilia mzee Millinga. Najuta. Najililia mwenyewe na wanazuoni wenzangu. OLE WETU NA U BIZE WETU, MASKINI SISI.

Nimeelewa sasa maneno ya Bwana Yesu alipoangikwa pale msalabani, alipowaambia wanawake wa Yerusalemu, "Jililieni wenyewe na watoto wenu". Simlilii mzee Millinga. Alifanya yaliyompasa. Sasa katoweka, ANAPUMZIKA KWA AMANI. AMIN.

Najililia mwenyewe kwamba sikuweza kwenda kusikiliza alichotaka kutwambia. Nakumbuka mwaliko ulitoka siku nyingi.Chambi alipiga kelele weeeeeeeeeee. Wengi walihamasika. Adam, mimi sikuwa mmoja wao. Ole wangu. Lakini OLE WENU PIA NINYI AMBAO HAMKWENDA, PAMOJA NA KWAMBA MLIJITOA KUTAKA KWENDA. AH nisiseme zaidi. Ila Ole wetu. Sababu ni kwamba tuko bussy jamani.Bussy bussy bussy saaaaaaaaaaaaaaaaana. SWALI LINALONIJIA NI TUKO BUSSY NA NINI?:
umaskini wetu?
Ujinga wetu?
Woga wetu?
hofu yetu ya kuthubutu?
n.k, n.k, n.k,

MAJI YAMEMWAGIKA, HATUTAYAZOA ASILANI. KAMARADI CHAMBI KAJARIBU KUJIFARIJI KWENYE MAKALA YAKE ETI NDUGU ZAKE WAPO HAI, KWA HIYO TUNAWEZA KUAMBULIA MACHACHE KWAO, SAWA. lakini TUJIFUNZE.

JE NI FURSA NGAPI TUNAZIPOTEZA NA TUTAENDELEA KUZIPOTEZA KWA KUDHANI NA KUTAMANIA KUCHUKUA HATUA? JE WEWE MWANAZUONI UNAESOMA TU MAWAZO YA WENGINE HUMU MTANDAONI, UTASUBIRI HATA LINI KABLA HUJACHUKUA UAMUZI WA KUCHANGIA MAWAZO YAKO? JE UTAANZA LINI?
JE WEWE MWENYE NIA YA KUGOMBEA UONGOZI WA KISIASA UNADHANI UTANGOJA HATA LINI?
JE WEWE MWENYE NIA YA KUJIENDELEZA KIELIMU, KUJENGA NYUMBA, KUOA AU KUOLEWA UTASUBIRI HATA LINI?

SAA YA UKOMBOZI NI 'SASA'
MZEE MILLINGA MIMI SIKULILII. SASA NAILILIA NAFSI YANGU. NAIHIMIZA NAFSI YANGU IJITUME KUAMUA NA KUCHUKUA HATUA PASIPO KUAHIRISHA AHIRISHA SANA.

HII NI HESHIMA YANGU KWAKO BABA YETU MILLINGA.
MAY U REST IN PEACE huku sisi tukihimizwa na Kuhanikizwa kuwa in PIECES.

ADAM, L.


From: Prof. Issa Shivji To: study-group- tz@googlegroups. com; Wanazuoni - Informal Network of Young Tanzanian Intellectuals Cc: Study Group Sent: Wednesday, July 16, 2008 11:26:25 PMSubject: Re: Taarifa ya Msiba
Inasikitisha. Mzee Millinga alikuwa mwanzilishi wa vijiji vya RDA. Mnamo mwaka 68 au 69 niliwahi kuwasliana naye na Ibbot kuhusu dhamira yangu kwenda kuishi katika kijiji kimojawapo cha RDA huko Songea wakati wa likizo. Ninakumbuka nilienda kumuona katika ofisi yake ya TYL. Alihamishwa TYL ninafikiri makusudi. Nia ilikuwa kumuondoa kutoka RDA. Ni historia ambayo haijaandikwa wala kueleweka vizuri.

Issa
----- Original Message -----
From: Chambi Chachage
To: Wanazuoni - Informal Network of Young Tanzanian Intellectuals
Cc: Study Group
Sent: Tuesday, July 15, 2008 9:52 AM
Subject: Taarifa ya Msiba
Ndugu Wanazuoni,

Rejea taarifa za masikitiko zilizoambatanishwa hapo chini. Muasisi wa RDA, Mzee Milinga, hatunaye tena. Ni matumaini yangu kuwa sisi kama Wanazuoni tutaendeleza mapambano aliyoyaanzisha Mzee wetu na kuenzi jitihada zake za kujenga jamii inayojitegemea. Mwenyezi Mungu na azidi kuifariji familia yake katika kipindi hiki kigumu.

Amen,
Chambi


----- Forwarded Message ----From: suleman toroka <s.toroka@gmail. com>To: Chambi Chachage ; Rose Nyerere Sent: Monday, July 14, 2008 12:47:27 PMSubject: Fwd: Mzee Millinga na RDA---------- Forwarded message ----------From: suleman toroka <s.toroka@gmail. com>Date: Jul 14, 2008 12:46 PMSubject: Re: Mzee Millinga na RDATo: Apollo BS Temu <atemu@calder- systems.com>
Ndugu Temu,

Ni kweli huu ni msiba mkubwa kwa wale waliomfahamu na kuwa karibu naye katika uhai wake.
Leo mchana anazikwa nyumbani kwake Peramiho

Salaam,

Toroka
On 7/14/08, Apollo BS Temu <atemu@calder- systems.com> wrote:
Ndugu zanguTumepokea taarifa ya msiba za Mzee Millinga kwa masikitiko makubwa tukiwa huku, Scotland. Nimeongea kiasi na Mzee Ralph Ibbot jioni ya leo.Salam zetu za awali za pole kwa familia na marafiki wote. Kuna mengi ya kukumbukia na ku "reflect" kama hatua ya kuheshimu aliosimamia marehemu katika maisha yake.Regards,Apollo TemuEdinburgh, Scotland

ROSTAM HASHIKIKI?HAGUSWI?HAKAMATIKI? WHY?

The following article by Lwaitama Azaveli feza, was denied place in a prominent newspaper in East Africa, ambalo limejiimarisha hapa tanzania pia.
Soma mwenyewe uone. Kuna defamation gani gani hata mwanasheria ashauri isitolewe kwenye habari hii? Ni kwanini HAIKUCHAPISHWA? KWA FAIDA YA NANI?JE TWAWEZA KUENDELEA KUYAAMINI MAGAZETI PEKE YAKE KATIKA KUWAANIKA MAFISADI?
Adam
Tuesday, July 22, 2008
Who should clear Rostam Azizi?
The name of Honourable Rotam Azizi has popped up in the media for sometime now whenever issues such as the Bank of Tanzania( BOT) and Richmond fraud scams and possible grand corruption allegations relating to these have come up for discussion. The media reports often echoed allegations made to the same effect by the popular opposition leader, Honourable Wilbroad Slaa, who first made these allegations at a political rally at Mwenge Yanga grounds in Dar es Salaam late last year.

This was the occasion on which a coalition of opposition parties including CHADEMA, CUF and TLP, announced what has now come to be known as the List of Shame, or Orodha ya Mafisadi, in Kiswahili. That list named eleven senior CCM politicians who were alleged to be the key participants and beneficiaries of these alleged BOT and Richmond fraud scams.

Some sections of the media, such as the popular Kiswahili weekly, Mwanahalisi, subsequently made further elaborations on the role played by Honourable Rotam Azizi as the key accomplice in the various serious fraud schemes, including one involving getting money from BOT and passing it on to the ruling party, CCM, to help it finance the campaigns of some of the politicians who ran on its ticket as parliamentary and presidential candidates in the 2005 General Elections.

All the same, these serious allegations remain allegations, and the truth about them has yet to clearly come out. The public has been denied the ultimate truth partly because those against who these deadly serious allegations have been made, including Honourable Rostam Azizi, and many other senior CCM politicians, have not so far taken the opposition politicians who made the allegations or newspapers like Mwanahalisi that made the allegations public, to court. It is the courts which can clear the names of these eminent persons, if indeed these allegations are false and the alleged culprits such as Honourable Rostam Azizi are also indeed innocent.

One is therefore baffled by the attempts by those who are on the List of Shame to seek to clear their names by organizing media spins including attempts at mudslinging those who they claim to be behind what they allege to be politically ill-motivated insinuations and innuendoes against their personal integrity. One is intrigued by the attempts by those mentioned on the List of Shame to take advantage of occasions of giving charity donations to Christian churches to announce to an obviously captive and ratified audience that they are innocent and that those making the allegations against them are maliciously envious political and business competitors.

On previous occasions when they had made donations in support of these same presumably noble religious causes they had not seemed to be too keen to have publicity given to their philanthropic endeavours. It sounds odd indeed that these same god-fearing philanthropists whose immerse wealth was presumably acquired through protestant chastity and prudence are now furiously seeking to have the entire world believe that, in spite of the ‘lies’ told against them by people who presumably have an axe to grind, they are clean politicians and businesspersons and that their claim of innocence ought to be accepted at face value.

Being unusually very naively charitable, I wish to humbly make a simple suggestion as the way forward out of the political hell into which CCM and the country’s ethically clean reputation has been plunged by the alleged BOT and Richmond fraud scams. I say to my compatriot Honourable Rostam Azizi, and all the other senior CCM leaders who are included in the List of Shame, if you wish to clear your name using religious platforms, then put to Parliament a private members motion requesting for the establishment of a Truth Commission. This will be similar to the one formed in South Africa after the collapse of the Apartheid regime in 1994.

Those alleged to have been involved in the alleged frauds will confess and be forgiven but only after pretty rigorous public interrogation by a panel of eminent persons, including noted lawyers like Prof. Issa Shivji and Mr. Tundu Lissu as well as clerics like Bishop Methodius Kilaini, and in the presence of representatives of those who suffered due to the commitment of the alleged frauds. In religious terms, that will indeed constitute a proper repentance procedure. Otherwise take Honourable Wilbroad Slaa and Mwanahalisi to court and stop organizing media circuses meant to encourage all to consider you innocent at face value, just as some people seem to have already done.

Author: Dr. Azaveli Feza Lwaitama

Source: The article was submitted as ' Rostam Azizi, Religion and the Media' in a respected newspaper. However, it was not published with apology from the editor as par commissioned column contract on advice of a lawyer.
Photo: Courtesy of http://www.haki-hakingowi.blogspot.co
Acknoweldgement: This article has been taken from: Chambi Chachage's blog;http://udadisi.blogspot.com

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP