Pekua/search

Saturday, July 21, 2012

Horace A. Byatt awa Gavana wa Kwanza Mwingereza Tanganyika


Horace Archar Byatt awa Gavana wa Kwanza wa Utawala wa Kiingereza nchini Tanganyika

Ni leo (Julai 22) katika Historia Yetu

Hapo Mwaka 1920, Horace alitawazwa kuwa Gavana wa Kiingereza wa kwanza nchini Tanganyika. Kabla ya uteuzi huo, hapo Januari 31, 1919, Horace alikuwa ameteuliwa kuwa Mtawala (Aministrator). Bwana huyu alijiwekea rekodi ya kuwa Mwingereza ambaye alikuwa akijali maslahi ya Waafrika kitendo ambacho kiliwashtua wakubwa zake na hivyo mwaka 1924 akahamishiwa kuwa Gavana na Amiri Jeshi Mkuu wa Trinidad and Tobago hadi hapo 1929.

Jikumbushe Magavana wengine nane wa Kiingereza waliotawala Tanganyika:
D. C. Cameron (1924 – 1931)
G. S. Symes (1931 – 1933)
H. A. Mac Michael (1933 – 1938)
M. A. Young (1938 – 1942)
W. E. Jackkson (1942 – 1945)
W. D. Battershill (1945 – 1949)
E. F. Twining (1949 -1958)
R. G. Turnbull (1958 – 1961)


0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP