Pekua/search

Saturday, April 7, 2012

WOSIA WA STEVEN KANUMBA

Yaweza kuwa yako mengi mazito yaliyotendwa, kunenwa na Steven Kanumba sambamba na yale ya kimtazamo. Nimechagua ujumbe huu kuwa WOSIA wa Kanumba kwa Watanzania. Kwangu unaonesha kuwa alikuwa zaidi ya tuliyemwona jukwaani.

Ameongelea uzalendo na kupendana, kujithamini kama watanzania na kuthamini chetu nk. Sikiliza undani wa maneno yake HAPA
au fuata kiunganishi hiki cha Youtube http://www.youtube.com/watch?v=NIsJd2MF56w&feature=related

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP