Pekua/search

Sunday, June 17, 2012

EDWARD TWINING AWA GAVANA WA TANGANYIKA- LEO KATIKA HISTORIA

Twining alipotembelea Kondoa June 23rd 1950
Leo (Juni 18) hapo mwaka 1949, Edward Twining aliteuliwa kuwa Gavana wa nane wa Kiingereza nchini Tanganyika.
Jumla ya Magavana Tisa wa Kiingereza walitawala nji hii tangu 1918 hadi Uhuru ulipopatikana. Wengine ni pamoja na:
 H. A. Byatt
D.C. Cameron
G.S. Symes
H.A. Mac Michael
M.A. Young
W.E. Jackson
W.D. Battershill
R.G. Turnbul (1958-1961)


Magavana wa Kijerumani walikuwa:
Julius Von soden (1891-1893) huyu ndiye aliyehamisha makao makuu ya serikali ya kijerumani kutoka Tabora kwenda Dar es salaam. Makao makuu ya kwanza yalikuwa Bagamoyo (1884) kisha Tabora (1890).

Wakitumbuiza katika ziara ya gavana huko Kondoa.
F.R Von Schele (1893- 1895)
H. Von Wissman (1895- 1896)
E. Von Libert (1896-1901)
A. Von Gotzen (1901-1906)
A.F. Von Schnee (1912-1918)

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP