EDWARD TWINING AWA GAVANA WA TANGANYIKA- LEO KATIKA HISTORIA
![]() |
Twining alipotembelea Kondoa June 23rd 1950 |
Jumla ya Magavana Tisa wa Kiingereza walitawala nji hii tangu 1918 hadi Uhuru ulipopatikana. Wengine ni pamoja na:
H. A. Byatt
D.C. Cameron
G.S. Symes
H.A. Mac Michael
M.A. Young
W.E. Jackson
W.D. Battershill
R.G. Turnbul (1958-1961)
Magavana wa Kijerumani walikuwa:
Julius Von soden (1891-1893) huyu ndiye aliyehamisha makao makuu ya serikali ya kijerumani kutoka Tabora kwenda Dar es salaam. Makao makuu ya kwanza yalikuwa Bagamoyo (1884) kisha Tabora (1890).
![]() |
Wakitumbuiza katika ziara ya gavana huko Kondoa. |
H. Von Wissman (1895- 1896)
E. Von Libert (1896-1901)
A. Von Gotzen (1901-1906)
A.F. Von Schnee (1912-1918)
0 comments:
Post a Comment