Pekua/search

Tuesday, December 23, 2008

THAMANI YA MAMA!!

















Mkazi wa Kijiji cha Kumhasha wilayani Kibondo.
Mama huyu sawa na mama wengi nchini, alipohudhuria
mkutano wa hadhara kijijini hapo Desemba 5,2008
sambamba na kuwahudumia watoto wake wawili.
Mkutano huo ulihusisha kutambulisha kwa jamii Utaratibu wa
Wananchi Kufuatilia Matumizi ya Raslimali za umma- PETS. Semina ya
waraghbishi iliyotangulia mkutano huo iliandaliwa shirika la TCRS na kuendeshwa
na wawezeshaji kutoka shirika la HAKIKAZI CATALYST la mkoani Arusha.
uliofanywa na shirika la TCRS.

Posted by Picasa




Posted by Picasa

Mwanazuoni Adam Jackson akisisitiza jambo wakati wa utambulisho wa "FUATILIA PESA' kijiji cha Kumhasha - wilayani Kobondo mkoani Kigoma

Posted by Picasa

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP