Pekua/search

Saturday, April 19, 2008

Mama Salma Kikwete aigwe. (Mchango zaidi)


Ni kweli kabisa huu ni mjadala wa kudumishwa.. ..

KWANINI TBC - Tanzania broadcasting commision jamani
ilishindikana kuita SUT - Shirika la utangazaji
Tanzania.

Mimi hasa huwa najiuliza ni nini hasa na tatizo li
wapi maana naona kama sasa huu utaratibu wa nchi yetu
sijui unakoelekea.

Sawa watu wamekuwa mafisadi kupindukia inawezakana
walikuwa hivi toka zamani lakini sikuhizi ndio
tumefahamu ila hata kwenye lugha jamani lugha. Mie
naona itabidi tuanzishe utaratibu wetu wenyewe maana
mtu ukinyimwa haki yako inabidi uichukue hii lugha
yetu kwanini isipewe nafasi yake.TUTUMIE KISWAHILI
KADRI TUTAKAVYOWEZA.

Naomba kuwasilisha
From:
To:
wanazuoni@yahoogroups.com

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP