WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amesema Serikali inaendelea na maandalizi ya
utekelezaji wa Gridi ya Taifa ya Maji inayolenga kutumia vyanzo vya uhakika
vya maj...
50 minutes ago
"Moto mkubwa huanza kwa cheche" Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
Bango hili lililokutwa eneo la Shoprite- Arusha likiwa limetobolewa matobo kibao. Na ni kawaida hivi sasa nchini kote mambango yanayotundikwa kutobolewa, NI KWANINI??? Naulisa!!!!!!!!!!!!!!!
Posted by Adam at 5:36 AM
© Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77
Go Back to TOP
1 comments:
Mkuu sio mabango yote hubomolewa,
ukichunguza kwa makini ni hayo matangazo ya kitambaa ndio hutobolewa na hutobolewa kwa makusudi na hao hao wanayoyaweka kwa ajili ya kuruhusu upepo kupita wakati unapovuma ili usilibebe hilo bango. chukua mfano mdogo wa jahazi linavyoweza kusafirishwa kwa nguvu ya upepo kwa kutumia lile kama shuka kubwa ni mfano tu unaoendana.
Post a Comment