Pekua/search

Tuesday, March 31, 2009

UBEPARI UMEFIKA MWISHO? MJADALA

Wanazuoni,
AMANI IWE JUU YENU.
Kama mjuavyo mwisho wa wiki liyopita ulishuhudia, maandamano makubwa jijini London ambapo wanaharakati na wana wa nchi duniani kote waliungana na kuandamana kuwafikishia ujumbe viongozi wa mataifa tajiri 20 duniani watakaokutana jijini hapa baadaye wiki hii.

ujumbe mkubwa ulikuwa WATU KWANZA. KINACHOPASWA KUOKOLEWA NI BINADAMU, SIYO MABENKI!!!

Kama vile MENE MENE TEKELI NA PELESI kwa ubepari, baadhi ya mabango yaliushutumu ubepari moja kwa moja kuwa kiini cha mwanguko/mporomoko wa uchumi duniani na kueleza bayana kwamba ubepari UMESHINDWA!! !

Kujionea baadhi ya picha na ujumbe katika maandamano hayo bofya HAPA. Kwa mjadala zaidi iwapo UBEPARI UMEFIKA MWISHO bofya HAPA (zaidi ya wachangia 5 wametoa maoni yao)
Wasalaam
Lingson
Mtoto Mpole sana

CHANZO: wanazuoni yahoogroups

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP