Pekua/search

Friday, July 24, 2009

AJALI - UZEMBE NA MAZOEA VITATUMALIZA TANZANIA!!!





Hii imetokea mchana wa leo Julai 24 barabara inayounganisha kitongoji Ilboru na barabara kuu ya Arusha - Moshi, mjini Arusha baada ya madereva mawili waliokuwa wakiendesha kwa kasi kugongana uso kwa uso. Baada ya kugongana kila gari likaelekea upande wake. Almanusra madereva hao wapoteze maisha yao na ya watanzania wengine.
Barabara hiyo hairuhusu kabisa mwendo mkali kutokana na udogo wake na wingi wa watumiaji wa barabara hiyo

1 comments:

Eric Kalunga July 29, 2009 at 12:42 AM  

Adam, pole kwa msiba uliokukuta. Tupo pamoja katika sala

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP