Pekua/search

Friday, November 27, 2009

Public information: for whose consumption?

As I took these fotoz I wondered why on earth whoever posted the information used Kiswahili to convey HIV and AIDS information while the rest is in English? (most if not all people of Bagamoyo and Tanzania in genaral speak Kiswahili)? Is it that he/she thought that is only was relevant to them? That Bagamoyo people were not entitled to understanding anything about the construction project? while it is commendable to mainstream HIV and AIDS it is still questionable as to why the information at has to be posted at all if it is to be in the language many people can't understand?



1 comments:

Unknown November 29, 2009 at 9:50 PM  

Ndugu yangu hii inaoshe jinsi ambavyo Watanzania ambavyo hatufanyi uchambuzi wa kina kwa jambo tunalotaka kufanya.Kwa maoni yangu bango hilo linamaanisha kuwa Watanzania wanachojua ni ngono tu.Lakini maswala muhimu kama ya shughuli za maendeleo kama hayo ya ujenzi wa kituo cha magari haliwahusu. Siyo wadau muhimu bali mradi huo ni zawadi tu toka serikalini kwa hiyo tukizingatia kuwa wengi wao hatujui Kiingereza hawatakiwi kujua kilichoandikwa.Nafikiri tunapaswa kufanya uchechemuzi ili ifike wakati serikali na hasasi zake zijue kuwa taarifa zote za umma ni kwa ajili ya umma wote na siyo baadhi ya watu wachache tu. Lakini pia hii inaosha jinsi tunavyodharau lugha yetu kwa haifahi kutangaza mambo ya kitaalamu.Maendeleo yanaletwa na kudhamni kwanza rasilimali ulizonazo kabla ya kuagisi nyingine nje. Kiasili ni moja ya rasilimali tuliyonayo Tanzania lakini tumeshindwa kuitambua na tusipoitambua hatuwezi kamwe kuitumia.

Elias

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP