Pekua/search

Wednesday, April 6, 2011

KATIBA YA VIRAKA BADALA YA KATIBA MPYA: QUO VA DIS TANZANIA?


KATIBA MPYA pole poooole tunahamishwa kwenye agenda. kinachopelekwa Bungeni 'Muswada' ni “The Constitutional Review Act, 2011 wala sio "The New Constitutional Act, 2011" Na hii ndiyo Tanzania. Adam Gwankaja
Top of Form
Zarah Karavina tusibirie tujue nini kitafwata
Goodluck Mlinga Adam katiba mpya haiundwi kwa madai manne, wanachodai hao wanasiasa kupunguza madaraka ya rais kwenye vipengere kama kuteua ma rc,dc,wakuu wa nec,pm na uundwaji wa cabinet hivyo haviwezi kuleta katiba mpya
Oh I c! ila inaundwa kwa madai mangapi@Goodluck? Nadhani una narrow down suala zima kwa wanasiasa. Madai ya katiba mpya si ya wanasiasa au walau si ya wanasiasa peke yao. Miaka hamsini ya uhuru wa Tanganyika na 47 ya Muungano imeshuhudia ka...si ndogo ya maendeleo licha ya raslimali lukuki. hilo peke yake linatosha kutufanya tuandae katiba mpya. Kufanya maptio ya katiba iliyopo ni mchakato mmoja tu wa uundwaji wa katiba mpya ya wananchi. Sasa muswada ukiwa sheria, mapitio yakafanyika, je utapelekwa mwingine? Nadhani its time tuachekea utani. This his last card, mhe JK, rais wetu mpendwa. Asimame kidete kukwepa hila za wapambe wake wanokoSee More
Andulile Raphael Hii itakuwa katiba ya Kikwete pekee yake kaka, sasa wananchi katiba yao itakuwa ipi? Kila kitu uchakachuaji tutafika kaka?
Asifiwe Alinanuswe hawa jamaa wanapenda kufanya watu wote wajinga,, better they learn the signs

Pata nakala ya Muswaada HAPA

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP