Pekua/search

Monday, January 9, 2012

Leo (Januari 9) katika Historia yetu - ISIKE MKASIWA ALIJIUA

Leo (Januari 9) katika Historia yetu:
Mwaka 1893 - Shujaa wa Kinyamwezi Isike Mkasiwa, alijiua kukwepa fedheha ya kusalimu amri kwa Wajerumani katika vita ya kukataa kutawaliwa na wageni.
Kufuatilia na kuchangia mjadala kwenye fesibuku tekenya HAPA

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP