Pekua/search

Monday, April 27, 2009

MATUMIZI MAKUBWA YA BAISKELI - MJINI OXFORD (BICYCLES IN OXFORD, UK)

Why we, in the third world like Tanzania dont optimally use bicycles for transport? weather? infrastructure? mentality?



3 comments:

Subi Nukta April 27, 2009 at 8:41 AM  

Sasa hapo unatambuaje ya kwako na ya mwenzio? ama ni ana ana anado tu? ama vipi hamna wezi hivyo poa tu... Nadhani kila mtu ana kufuli lake duh, lazima uwe na kijitabu cha kuandika ulikopaki ili uweze kukumbuka.
Fikiria umefika hapo asubuhi ukakuta baiskeli tatu halafu unarudi saa saba unakuta utitiri huo... mwe. ntatembea kwa mguu tu.

Unknown April 28, 2009 at 3:52 AM  

Africans especially those who live in town they think bicycles are for the people who live in rural areas.Sometimes in urban areas people are afraid to ride bicycles because there is a lot of cars.Bicycle riders are not protected and secured

Adam April 28, 2009 at 5:01 AM  

Subi na Mdasenga, thanks for ur interesting comments. they are both challenging.Unawezaje kuitambua kuwa hiyo ndiyo yako? Lakini mbona magari twayatambua?It is probably a matter of changing the mind set. Mbona watoto wanaoshiriki kwenye halaiki uwanja wa taifa hhawapotei?

As for Mdasenga, it is true huku kwetu bongo tunaona basikweli ni kwaajili ya wakulima huko shamba. this in fact is what had made me take those photos in Oxford, an academic town!!!
Regarding kuwepo kwa magari mengi mjini nakubaliana na wewe, lakini je hudhani pia kwamba kutokuwepo miundombinu ya kutumia basikweli, kunafanya kila mtu afanye ka EPA kake ili awe na usafiri wake na hivyo kufurisha barabara kwa mascrepa ya Japani!!!? dont you think the use of basikweli, can curb the traffic jam challenges in big town like dsm?
TWENDELEE KUJADILI

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP