Pekua/search

Thursday, November 19, 2009

EDUCATION ENVIRONMENT FOR 21st CENTURY IN TANZANIA- WHAT A SHAME!!!



The Primary Education Development Plan (PEDP) popularly known as Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi (MMEM) 2002-2004 was a massive support to boost primary school education in Tanzania. it aimed at enhancing the both quality and quantity (structures to increase enrolment and enhance quality as well).BUT IN SOME PLACES OF THE COUNTRY - PEDP only came to pass!!


Photographed are the pupils of Juhudi Primary School in Kigoma Rural – district in Kigoma region- Tanzania in the ‘modern and enhanced learning environment as a result of MMEM!!!!! God forbid!


Rev. Emmanuel Bwatta of Anglican Church who took the fotoz, August this year (2009) reported that teachers at Juhudi primary school were reluctant to allow him to take the fotoz!! what do you think was the reason for their reluctancy??


Photos: Kind courtesy from Rev. Emmanuel Bwatta

8 comments:

Unknown November 22, 2009 at 8:27 AM  

Tatizo la elimu na miundo mbinu mingine katika mkoa wa Kigoma ni inveterate issues. Wakati kuna ukweli kwamba wakaazi wa mkoa huu wanamwamko mdogo katika elimu, pia ni ukweli usiopingika kwamba wanasiasa (wabunge) wa mkoa wa Kigoma hawajali maendeleo ya eneo hili la magharibi. Wawakilishi wa eneo hili inasemekana mara tu wachaguliwapo huhamishia makazi yao Dar.

Kunahitajika hamasa kubwa itakayoleta muamko ili kuondokana na aibu hii.

Marie November 23, 2009 at 11:24 PM  

Dear Lingson, thanks so much for this post. I think the MMEM project was such an abitious one for such a short period of time. Imagine,improving both the quality and quantity of education within a 2 years (2002-2004) period of time!!! Let alone Tz being a huge country. Perhaps the project resources didn't allow to reach as far as Kigoma or if it reached there,some schools other than Juhudi primary benefited.

Thanks

Unknown November 23, 2009 at 11:40 PM  

Dear Lingson, thanks for this post. I think the MMEM project was such an ambitious one. Imagine, improving both the quality and quantity of education within 2 years (2002-2004) period of time!!! Let alone Tz being a huge country. Perhaps the project resources didn't allow to reach as far as Kigoma, or if it reached there, some schools other than Juhudi primary benefitted?

Thanks

Adam November 24, 2009 at 6:26 AM  

Thanks Maria for your input and especially that you are positive. All the same, the children at Juhudi primary cant find any reason to justify other schools benefiting and leaving them in such conditions.

Moreover, I would be glad if you will find time to share with the rest of us what is the experience in Uganda.
Karibu sana

Unknown November 29, 2009 at 10:20 PM  

This is serious.The cost of One 'shangingi' is enough to construct more than five modern classrooms.How many shangingi's are purched here in this country annually? This country is well endowed with plenty of resources but poor Tanzanians are denied to access the richness that God has blessed them with.Only few guys are collaborating with others outside and working very hard to make sure that Tanzanians are dying poor while themselves with their family are looting and plundering the wealth of the country
MKUKUTA review is taking place by the time. These are issues that should be raised to prove that MKUKUTA I was not success and therefore MKUKUTA II should take on body these kind of social disasters.Those children should be rescued from Ujima immediately. If not, don't wonder those children growing up to be haters of every rich person in this country.
Bad enough the education policy of our country does not recognize the marginalised children. They will be evaluated equally with those of Bunge primary school or Sint Mary's Academy competing for the same chances to secondary school. Is it fare by the grace God? Is it not a sin?

Ayoub C Kafyulilo January 3, 2010 at 7:33 AM  

Tutafakari, miaka 48 ya uhuru, plus miaka 33 ya CCM. Kuna lolote la kujivunia kutoka kwao? Haitoshi kutafakari tu bali pia tuchukue hatua dhidi ya huu wizi unaofanywa na CCM. Ukizingatia kwamba serikali inajenga nyumba ya gavana kwa bilions. Hivi hapo darasa moja lingegharimu bei gani? Imeshindikanaje kujenga madarasa ikawezekana kujenga nyumba za mabilioni hivyo? Unaweza ukashindwa hata kuelewa kama hawa watoto wapo katika nchi huru au ni wakimbizi.

Ayoub C Kafyulilo January 3, 2010 at 7:38 AM  

Please Adam, would you allow me to use your pictures in other publication about the education in Tanzania?

Adam January 4, 2010 at 1:43 AM  

kaka Ayoub, ahsante kwa mchango wako murua. Tanzania si masikini kihivyo hata watoto wetu na ndugu zetu wasomee katika mazingira duni na dhalili namna hii. nisuala la UTASHI WA KISIASA na VIPAUMBELE kwa viongozi wetu kutoka kazi ya kijiji/mtaa hadi taifa!

Pamoja na matumizi mabaya katika ngazi ya kitaifa, tusisahau kwamba madiwani wanaidhisha manunuzi ya magari ya bei mbaya kwaajili ya wakurushenzi wa halmashauri zao (hata kama hakuna barabara).

Naam ndugu yangu na wengine, NI RUKSAAAAAAA kutumia picha hizi na hata mawaz/fikra zitokazo na mijadala ya kwenye blog hii. Kistaarabu na kitaaluma ni vema ku -acknowldge (hufungwi) lakini ni nzuri kwa accountability. u get your hands clean in case kunakuwa na amisrepresentation.

Karibu

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP