Pekua/search

Saturday, August 28, 2010

ETI HAYA NI MIONGONI MWA MAFANIKIO MAKUBWA YA AWAMU YA JK-


Of all the things, makalio ya mama/dada zetu ilikuwa kipaumbele kumwonyesha Bush siku alipotua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Juliasi Nyerere Februari 2008.Bongo bwana!Na huendali aliyapenda. 
Ndugu  yangu mmoja hataji mafanikio ya utawala wa awamu hii asipoanza na ujio wa bush nchini. Huwa namsikiliza, maana najua MUNGU AMETUUMBA WENGI. Labda haikuwa kazi rahisi

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP