Pekua/search

Friday, August 27, 2010

HUYU NI MIONGONI MWA WENYE VICHWA VIGUMU KAMA ALIVYOSEMA TENDWA?

2 comments:

Subi Nukta August 27, 2010 at 4:43 PM  

Bila kichwa ngumu watu hujisahau, watu hawatii adabu, wacha tupate vichwa ngumu wengi walao tutatia akili na kujua tuliko ili tuweze kupanga tunakotakiwa kwenda.

Adam August 28, 2010 at 5:37 AM  

Haya nayo MANENO da Subi, maana. Jana nilikuwa nakokotoa mlinganyo pale fesibuku. kwamba wapinzani wana vichwa ngumu; hivi tendwa kafanya yapi kwa wepesi wa kichwa chake tukimlinganisha na Slaa hata mrema! SITAKI KUAMINI SITAKUBALI ASILANI KWAMBA WATANZANIA WENGINE WOOTE NI WAGUMU VICHWA ILA TU WANAPOKUWA CCM NDIYO VICHWA VINALAINIKA!!! SHENZY TAIPU

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP