Na Farida Mangube, Morogoro
Tanzania imetajwa kuwa na fursa kubwa ya kuongeza usalama wa chakula na
kukuza uchumi kupitia sekta ya kilimo endapo wakulima ...
4 hours ago
"Moto mkubwa huanza kwa cheche" Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
© Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77
Go Back to TOP
2 comments:
Bila kichwa ngumu watu hujisahau, watu hawatii adabu, wacha tupate vichwa ngumu wengi walao tutatia akili na kujua tuliko ili tuweze kupanga tunakotakiwa kwenda.
Haya nayo MANENO da Subi, maana. Jana nilikuwa nakokotoa mlinganyo pale fesibuku. kwamba wapinzani wana vichwa ngumu; hivi tendwa kafanya yapi kwa wepesi wa kichwa chake tukimlinganisha na Slaa hata mrema! SITAKI KUAMINI SITAKUBALI ASILANI KWAMBA WATANZANIA WENGINE WOOTE NI WAGUMU VICHWA ILA TU WANAPOKUWA CCM NDIYO VICHWA VINALAINIKA!!! SHENZY TAIPU
Post a Comment