Pekua/search

Sunday, April 10, 2011

HONGERA SAMBWEE; HONGERA CHADEMA: OLE CCM

HONGERA SAMBWEEE SHITAMBALA (uliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA Mbeya) kwa ujasiri (maana si rahisi mwanasheria wa aina yako kuthubutu kuigiza kutojua na kutozingatia sheria kama ulivyofanya ulipogombea jimbo la mbeya vijijini). HONGERA CHADEMA -maana Zigo zito kama hili likikuponyoka sio mchezo, ni nafuu kubwa!! HALAHALA CCM!!(ahsante Frederick Katulanda kwa Picha)
Emmanuel E. Meela kaka kumbe the guy z just a puppet..? Am predicting that they are coming 2 an ugly end CCM watajuta na siasa majitaka zao.!!
Adam Gwankaja yetu macho tuuuuuu, maadam tunayo na mbongo za kutafakari Mungu katujaalia!!!
Junior Matukuta Karibu nyumban SHITAMBALA kwan ulikuwa mwana mpotevu bt umerudi nyumban na hatimaye baba(CCM) amekupokea.I like it!!
Adam Gwankaja ‎@Junior, its great indeed. Shujaa anaporejea, ili AFIE nyumbani pamoja na wenzake.
Junior Matukuta Unajua siasa aianzi ukubwan ila utoton na upinzani umekuja rasmi miaka ya 90 na CCM ipo tang 77 bac ata... na... ni CCM!
Emmanuel E. Meela nyumbani wapi.? Nyumba ipi.? hii hii chakavu yenye kuta kuukuu zilizojaa nyufa za kila aina.? Akarabie na ndani kabisa ili itakapoanguka imfunike na liwe ndio kaburi lake kama mwanasiasa uchwara....@Junior
Adam Gwankaja Duuh Hongera sana@Junior, naona una hoja nzitooo nzitoooo. Nimeipenda hiyo ya siasa kuanza utotoni. hoja maridhawa kabisa. Ila nikukumbushe kidoooogo tu kwamba mfumo wa vyama vingi nchini tanzania haukuanza 1992. Ndiyo mfumo uliokuwepo wakati wa uhuru. ndiyo mfumo uliotafuta uhuru na kuupata. Kama umri ni hoja, multiparty democracy is older!!, lakini HONGERA tuuu
Junior Matukuta Hv ww utakataa kwenu ata kama ni pabaya then uwezo unao wa kurekebisha? bt walio nje ndo wanajua thaman ya CCM@Emmanuel
Adam Gwankaja thamani ya CCM ni kubwa. Nichama pekee ambacho mwenyekiti anaweza kusema anataka iandikwe katiba mpya, lakini waziri aliyeteuliwa naye, ama mwanasheria mkuu aliyemteua, anaweza kupinga hilo, na kisha akaendelea kuwepo kwenye wadhifa huo. Uko sawa kabisa kaka
Junior Matukuta Kama unakumbuka vizuri wapinzan weng waliondoka CCM baada ya kukosa nafac za kugombea bt katiba c ya CCM bali ni ya TZ!
Emmanuel E. Meela junior shabiki wa siasa uliyepumbazwa na na siasa za propaganda..., huwa cpotez muda wngu kubishana na watu wa aina yako.!! Naamini unatambua uwepo wa Mungu..., so try 2 b God fearing hata palipo na maslah yako binafs.. Ni hayo tu
Mussa Mwangoka Kwa SHITAMBALA nilitegemea tena amechelewa sana.
a group of propaganda's pipo in the form of political part, we've to know that there some of 'mafia' is ruling some countries politically, and CCMs is among them, every one know that Tanganyika pipo & CCMs its like a group of ''Jerries'' in... the house of ''Tomies'' dancing and eating together, how this could be? If u had a standard mind u should know it, there is a game in the so called Tanganyika under CCM's pipo coming in the pipo's eyes like a duts, wisemen can see it like a high mountain,See More
Rosca Bugingo Ckuzote wezi au waovu hupenda giza Chadema icho ki2 hakuna so kakimbia kwenye chaka la majambazi wenzie, cunaonawalivyo na nyuso za furaha, bungeni kuna mashine chache2 zinakoboa na kusaga!
Mwamfupe Anyisile ‎@Junior Matukuta, unatakiwa pia kujua kuwa mabadiriko hayaji utotoni bali ukubwani maana, kama tutakuwa waaminifu hata kwenye madogo na kuwa watulivu na wenye kuhitaji kujitenga na Ubaradhuri'' utagundua kuwa CCM haijaanza mwaka 77, isipokuwa bendera ya chama ndiyo imeanza hapo, lakini itikadi ya CCM ni ukoloni in the new shape wachache wapate kula, wengi waishi kwa shida
Negwako Mwakibinga ‎!!!!??? Mwadada!
Adam Gwankaja Polytricks@Negwako.
Deborah Sangu ‎@ matukuta sio kosa lako kaka, kazana labda 2015 utapata udiwani.
Negwako Mwakibinga Mwagona Mwadada! Zimbombo?
Junior Matukuta Sarari iliyopita 2010 kura za maoni azikutosha bt safari ijayo nategemea utakuwa kampen meneja wang@Debby!
Adam Gwankaja ‎@Negwako wewe nawe!! ena wane nyinza sanyona! usiendeleza mi sijui. @Junior,ni vizuri kuutafuta uongozi/uana siasa, lakini inafaa zaidi tukiacha uvuvuzela. tukitazame chama chochote tunachokishabikia critically kisha tutoe mielekeo mbadala, sio kushabikia kila kitu kama unavyojaribu kufanya.samahani lakini, tehe teheeee, mie nyumba ya tope, sihimili vishindo kwi kwihiiiii
Deborah Sangu ‎@ matukuta, sahau kabisa kabisa, mnafki shitambala atakusaidia...
Tinson Nzunda Mwiba hutokea ulipoingilia. Kwa mwenye hekima hathubutu kuusukumiza utokee upannde wa pili.
Hosea Kapula tunahitaji watu wenye uwezo
Resty Nyamizi Nenda mwanakwenda,na kama umesahau chochote CHADEMA tutakuletea huko huko! makapi yote yatatoka na watabaki wale tu wenye dhamira safi.
Felix Mwakyembe Ilieleweka huyo, mwache kafuata UDC na viti maalum vya JK
Adam Gwankaja asalimie dunia. Mwisho wa uhuni huu hauko mbali.
Asifiwe Alinanuswe uhuni huu hauko mbali? hapana uko MBALI sana ndugu Adamu tena mbali mno maana wamewapanda kama mchicha si unajua uwingi wa mbeguze? sasa watatoka kama hawataki,, na mbaya zaidi kuna wepesi ambao hupulizwa na hao watokao,, na nzuri zaidi greens wanajua kuwafanya watu wasijue elimu ya uraia,, fikiria mtu hajui kuwa vyama vingi viliuwawa kwa kuwa na katiba mbovu,,, hawa matambala,,,, ooh sorry hawa watokao waende tu, maana birds of the same feather flock together
Rashid Mkwinda LIPO JAMBO LILILOJIFICHA NDANI YA CHADEMA AMBALO NADHANI WENGI HAWAJALIJUA NA KAMA LITAENDELEA KUWA HIVYO WENGI WATAONDOKA HUMO, NILIONGEA NA SHITAMBALA KABLA HATA HAJAFIKIRIA KUHAMIA HUKO KWA KIJANI...MUHIMU KUWEKA UMUHIMU KWA WATU MUHIMU WALIOSAIDIA KUKIFANYA CHADEMA KUWEPO HAPO KILIPO.
 Rashid Mkwinda NAKUMBUKA NILIWAHI KUZUNGUKA KATIKA OPERESHENI SANGARA NA VIONGOZI WA CHADEMA KATIKA MAENEO KADHAA YA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, NAAMINI VIONGOZI WA CHADEMA WANAJUA WAZI KUWA HIVI SASA CHAMA HICHO NDO KIMEANZA KUMEA VIJIJINI KABLA YA HAPO HAKUKUWEPO NA CHAMA HICHO....JIULIZENI NINI MUSTAKABALI WA CHAMA HICHO....KWA KWELI INATIA UCHUNGU, CKUAMINI KILICHOTOKEA LAKINI NAAMINI PIA SHITAMBALA AMEAMUA KUFANYA UAMUZI MGUMU AMBAO HATA YEYE MWENYEWE ANAJUA NI MGUMU KWA MASLAHI YA WATZ
Mussa Mwangoka Mkwinda kwani tatizo nini huko CHADEMA?.
Adam Gwankaja Naam@Mussa, Rashid atujuze! Tatzo mzee wa tamathali za semi nahau na methali sana huyu Rashid
Elias Mhegera Thanks Adam for your observaton he was indeed a liability to CHADEMA
Bottom of Form


0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP