Pekua/search

Wednesday, November 16, 2011

MWALETA UTANI KATIKA SUALA LA MSINGI KAMA KATIBA YA NCHI!!!!?


Tunachekelea mustakabali wa nchi ukifinyangwa na kukanyagwa mbele ya macho yetu!!? Ujana gani huu? Uzalendo wa wapi huu? Tunageuza suala zima la mjadala wa namna katiba mpya itakavyopatikana kuwa mzaha! komedi tena isiyo ujumbe!!!Tunashabikia kama mazuzu utadhani utani wa jadi kama simba na yanga!! Oh Tanzania mama yetu, pole sana!
 





Kusoma michango ya wadau mbali mbali bonyeza HAPA au kiunganishi kifuatacho kuelekea Facebook 
http://www.facebook.com/photo.php?fbid=2699844816024&set=a.1455905638322.64825.1253767086&type=1&theater

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP