Pekua/search

Monday, November 14, 2011

WATUMWA WANAPOTOANA MAPOVU BUNGENI

Waziri wa Uchukuzi Omari Nundu AWATAJE WABUNGE WALIOTUMWA (pamoja na waliowatuma) Kupinga muswada wa Markebisho ya Sheria ya Manunuzi ya Umma ili serikali ya Tanzania iwe USED (aka kununua mitambo used); Vema na yeye mwenyewe AWAAMBIE WATANZANIA NI NANI AMEMTUMA KUPIGANIA SERIKALI INUNUE VITU USED.
cheki alivyosema Bungeni Jana:

“Kwa kauli zenu baadhi yenu mnatumwa kupinga ununuzi wa ndege na mabehewa ya treni najua hilo … mashirika binafsi wakinunua ndege na mabehewa mnaona sawa, lakini kwa Serikali hamturuhusu, mnaangalia ajali tu tukinunua,”


KUSOMA Mjadala mzima bonyeza HAPA au kiunganishi hiki
http://www.facebook.com/photo.php?fbid=2674355858816&set=a.1455905638322.64825.1253767086&type=1&theater

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP