Pekua/search

Friday, February 3, 2012

LEO (Februari 4) KATIKA HISTORIA: Mtanganyika wa kwanza kuwa Bwana Shauri wa Wilaya

Mwaka 1955 - Dunstan Omari aliteuliwa kuwa BWANA SHAURI (District Officer) wa kwanza Mwananchi nchini Tanganyika. Baadaye pia Omari akapata bahati ya kuwa Kamishna wa Wilaya (sasa Mkuu wa Wilaya aka D.C) wa kwanza. Huyu bwana alikuwa miongoni mwa Watanganyika/Watanzania wa kwanza kuhitimu elimu ya juu huko majuu. alisoma Aberystwyth University, Wales, ambapo alihitimu mwaka 1953.
kufuatilia kwenye Facebook bonyeza HAPA

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP