Pekua/search

Sunday, February 5, 2012

MABENKI YOTE YA KIGENI YATAIFISHWA (Ni siku ya leo - Feb 6 katika historia yetu)

Tarehe kama ya leo (Februari 6) hapo mwaka 1967, Mabenki yote ya kigeni nchini Tanzania yalitaifishwa na kuundwa kwa Benki ya Taifa ya Biashara NBC. Wenzetu hawa hakika WALITHUBUTU, WALIWEZA, WAKAENDELEA MBELE VIZURI hadi mahali fulani michumia tumbo ilipoleta nongwa.

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP