Pekua/search

Thursday, March 1, 2012

KUANZISHWA KWA SERIKALI ZA MAJIMBO na BAADAYE MIKOA NCHINI - Leo (Machi 1) katika Historia yetu -

Bendera ya Tanganyika 1919 -1961
Leo (Machi 1) katika Historia yetu -

Mwaka 1926 Utawala Waingereza uliiganwanya Tanganyika katika maeneo ya utawala yaliyoitwa MAJIMBO (Provinces) kila jimbo likiongozwa na MTAWALA aliyeitwa Provincial Commissioner aliyewajibika moja kwa moja kwa GAVANA (Wakati huo akiwa D. C. Cameroon.

Mwaka 1962, siku kama ya leo, katika Tanganyika Huru, majimbo hayo yaligeuzwa majina na kuwa MIKOA, na hivyo kutwaa mahali pa majimbo yaliyowekwa na WAKOLONI mwaka 1926.

SWALI. Je, dhana ya ukoloni kwa wakuu wa mikoa/wilaya imebadilika? Wanaongoza au bado WANATAWALA? jinsi wanavyopatikana inaashiria uhuru au bado ni katika mfumo wa uteuzi wa Gavana/Rais?


kusoma mjadala unaoendelea FACEBOOK bonyeza HAPA

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP