Pekua/search

Tuesday, April 10, 2012

KIFO CHA KANUMBA NA MAPENZI YETU KTK KIFO NA SIO UZIMANI



Oh Steven Kanumba, how I wish tungekuonyesha 'upendo huu' ukiwa hai! Kuondoka kwako mapema hivi kumeniachia maswali mengi;


Je watanzania tutaendelea kupenda marehemu zaidi kuliko waliohai mpaka lini? Je michango ya mamilioni eg milioni kumi aliyotoa Rais itafanya kazi gani? Italiwa tu, kunywewa tu na kisha KUNYA na KUKOJOA?

Je itakusanywa na kuanzisha STEVEN KANUMBA FOUNDATION ili kuyaendeleza mawazo yako?

Oh nalia mie, ila siji msibani. WACHA NIJIULIZE TU.


Soma mjadala kuhusu hii kwenye FACEBOOK, bonyeza HAPA

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP