Nenda Brigedia Jenerali (Mstaafu) Adam Mwakanjuki. Pumzika kwa amani.
Mbio ulizipiga, nchi uliijenga. Utabaki KUWA mfano na ushuhuda wa
MUUNGANO wetu. Pumzika kwa amani baba yetu
Picha imesombwa kutoka: http://www.mjengwablog.com.
Kumbe umekufa Adamu, Pumzika kwa Amani Brigadia hatukujua tulikuwa bize na kifo cha Kanumba Supa staa wetu. Nasikia pia Generali Ernest Mwita Kyaro nae kafariki!!!!!!!! nilifikiri ndo jina jingine la Msanii Kanumba na nilidhani Stivin Kanumba lilikuwa jina la usanii na hilo la geerali ndo jina lake halisi au kinyume chake ndo sahii. Enewei Tulikupendeni Mungu kawapenda zaidi
Kama uko Marekani au Canada, unaweza ku-install Google Voice na kuitumia
kupiga simu kwenye namba ya mtu moja kwa moja aliyeko Tanzania.Natoa
maelekezo kwa...
Network data from the NetBlocks Internet Observatory confirm widespread
disruption to social media and online communication platforms via multiple
inter...
Dr. Slaa alipata nafasi ya kuzungumza siku ya Jumamosi na kituo cha
Televisheni cha ITV kuhusu masuala mbalimbali ya kampeni na mwelekeo wake
wa uchaguzi. ...
These Commonwealth Scholarships target talented and innovative students
ready to enrol for PhD. It will be provided at the National University of
Singapor...
1 comments:
Kumbe umekufa Adamu, Pumzika kwa Amani Brigadia hatukujua tulikuwa
bize na kifo cha Kanumba Supa staa wetu. Nasikia pia Generali Ernest
Mwita Kyaro nae kafariki!!!!!!!! nilifikiri ndo jina jingine la Msanii
Kanumba na nilidhani Stivin Kanumba lilikuwa jina la usanii na hilo la
geerali ndo jina lake halisi au kinyume chake ndo sahii. Enewei
Tulikupendeni Mungu kawapenda zaidi
Post a Comment