Pekua/search

Wednesday, June 27, 2012

Je Serikali imemdhuru dkt. steven ulimboka? Soma kauli za viongozi wakuu, tafakari.

Too bad. Pole sana dkt Ulimboka
"...kuna watakaokuja kwenye meza ya majadiliano wakiwa na NGEU na bandeji....."Mwaka 2010 (kama sikosei) Rais Kikwete alipoongelea suala la mgomo wa waalimu

LIWALO NA LIWE..Waziri mkuu Mizengo Pinda leo (Juni 27, 2012) Bungeni Dodoma akiongelea mgomo wa madiwani.

Haya sasa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Dkt Steven Ulimboka ameripotiwa kudhuriwa vibaya. Mwana mpole mmoja aliyemshuhudia pale MOI anasema yuko katika hali mbaya sana. Serikali na viongozi hawa wanakwepaje kuhisika? Haya sasa Madaktari waliogoma wataacha kumtibu kiongozi wao?

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP