Pekua/search

Monday, August 27, 2012

The Great Inspirators - Tuwasifu wakiwa hai bado


Mzee Ambepwile Mwakapasa aka Mfugaji - Kijiji cha Isange, Tukuyu
They inspired me to love Community development
Ni katika kutafakari misimamo na mitazamo ya wazee hawa nikajiwa na falsafa ya ING'ENG'EESI, kimombo Bamboo bee! Hana sifa sana za kuweza kuruka, lakini anaruka sana tu.
Ndipo nilipopata picha kwamba kazi za kujiolea ni sawa na bomba la maji..haliyanywi maji hayo lakini hupoozwa nayo.

It is from them that i learnt to love Community development work. God bless these great men of Isange Village, Tukuyu, Mbeya, Tanzania. (Shukrani nyingi kwa Hezekia Mwalugaja wa HOCET kwa picha hizi) la sivyo nisingeweza kupata kuwashukuru wazee wangu hawa wangali hai.Pamoja na hawa katika kundi hili yuko John Mwalugaja, Mwasakujonga na Ben Mwakanyamale(hawako pichani)! Mungu awabariki.
Mzee Ahadi Lufingo Mwakibete (Tshirt nyeusi)- Isange, Tukuyu




Mzee Robert Mwakasendo aka Mwenyekiti (kushoto)- Isange
  

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP