Pekua/search

Thursday, May 2, 2013

Hoja si meno ya Kinana tunaongelea meno ya TEMBO



Hoja si meno ya Kinana tunaongelea ya TEMBO


“Hoja ya Mzee Kinana hapa inakubalika kimantiki;
'Kampuni ni yangu, kila kitu ni changu ila meno si yangu'

NI KWELI MENO SI YAKE NI YA TEMBO! Lakini sasa huko kwenye kampuni yake huko yamefikaje? Na faida itokanayo na kazi inayofanywa na kampuni yake haiji kwake? Na hata mamlaka zinazopaswa kukagua meli si vya serikali ya chama anachokiongoza? Wanaposema serikali ya CCM in impotent, kwanini asikubali tu?” Fuatilia mjadala huu kwenye facebook http://www.facebook.com/photo.php?fbid=10201162411003067&set=a.1455905638322.64825.1253767086&type=1&theater&notif_t=photo_comment

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP