Pekua/search

Friday, April 18, 2008

Siyo mafunzo ya KARATE; Ni Kupasha tu!!


Baada ya majadaliano na kushirikishana ufahamu, maarifa na ujuzi kuhusu mapendekezo ya MKURABITA juu ya urasimishaji wa mali na biashara, huko Matema, Kyela mkoani Mbeya pichani washiriki wakiongozwa na mwenzeshaji (Adam, L) 'wakipasha' kwa kunyoosha viungo.

Kujifunza kunapaswa kuwa tendo linalofurahiwa.

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP