Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Mhe Dkt. Samia Suluhu Hassan
imekamilisha ujenzi wa shule mbili za kisasa za Amali Wilayani Kibondo
Mkoani T...
1 hour ago
"Moto mkubwa huanza kwa cheche" Alhaj Ali Hassan Mwinyi.
Neema ya Mkutano wa Sullivan pengine haikuishia kwa wazito tu. Jamaa huyu alikutwa siku ya Jumamosi May 30, nyuma ya hoteli ya Pallsons eneo la friends corner mjini arusha, akiendelea kuandika bango. Alikataa kutushirikisha alivuta sh'ngapi.
Posted by Adam at 3:12 AM
© Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77
Go Back to TOP
0 comments:
Post a Comment