Pekua/search

Friday, January 16, 2009

MIAKA 48 YA UHURU, BADO JEMBE LA MKONO!!!!



Mkazi wa kijiji cha Mbambo wilayani Rungwe Mbeya, ndugu Jackson Mwampaka, akipalilia shamba la mahindi, mwisho mwa mwaka jana.

Jembe la mkono ndiyo zana kuu ya uzalishaji miongoni mwa wakazi wa kijiji hicho sawa na vijiji vingi nchini. Hapo ni karibu nusu karne tangu Uhuru.

TATIZO NI NINI?TUTAOMBA CHAKULA HADI LINI???

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP