Pekua/search

Friday, January 16, 2009

NANI KASEMA WATANZANIA SI WABUNIFU??

Mkazi wa Katumba, mjini mdogo pembeni mwa mji wa Tukuyu wilayani Rungwe, ambaye amejichotea umaarufu kwa kuuza sambusa, kababu na ndizi kwenye mabasi yafanyayo safari kati ya Mbeya/Tukuyu na Dar es salaam. Ni maoni ya wadau wengi kwamba biashara yake hiyo 'Inamlipa'. Badala ya kuendelea kubanana na wataalam wenzake wa kutengeneza vyakula hivyo, yeye amebuni utaratibu huo, ambapo anaenda akibadilisha magari. JE ASAIDIWEJE AFANYE VIZURI ZAIDI? NA SISI WENGINE TUFANYEJE, ILI TUTOKE?

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP