Pekua/search

Sunday, March 1, 2009

KUNJI KILA MAHALI


Mamia ya wanafunzi wa vyuo mbali mbali vya elimu ya juu jijini London mchana wa tarehe 25 .2. 2009 waliandamana kupinga kupanda kwa ada za elimu ya juu.Wanafunzi hao walikusanyika kwenye viunga vya School of Oriental and Frican Studies (SOAS) jijini London kutoa dukuduku lao kutaka ELIMU IWE YA BURE NA KILA MWANAFUNZI ALIPIWE GHARAMA ZA KUISHI AWAPO CHUONI.Wanafunzi hao waliungwa mkono na taasisi mbali mbali zenye kupigania haki za binadamu.
Hawakupigwa mabomu ya machozi wala virungu havikutembea!!!!!!!!!

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP