Pekua/search

Friday, January 8, 2010

TANZANIAN KIND OF POLITICS; ONLY THAT THEY ARE IMPOTENT



Ni kkatika halmashauri ya wilaya ya Arusha mkoani Arusha, Tanzania

Inakuwa vipi wasiokuwa wana CCM wakienda kujitafutia riziki hapo?
Je wakereka hawa, wamefungua tawi hili kwa vile wanakipenda CCM au walikuwa wanatekeleza usemi maarufu wa SUMAYE, F, waziri mkuu mstaafu, "Ukitaka mambo yako yaende sawa, weka bendera ya CCM" Msemo ambao ulishuhudia majambazi yakipita polisi pasipokusimamishwa kisa? wanapeperusha bendera ya CCM.

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP