Pekua/search

Tuesday, May 24, 2011

KUELEKEA KUSINI MWA TANZANIA: HII NAYO NI BARABARA- Dkt Magufuli aendelee kutumia utu!

Hii pia ni barabara:kipande cha Marendego-Somanga katika barabara ya Dar - Lindi - Mtwara.Ni sehemu ya KM 60 za barabara ambazo ujenzi wake umesuasua kwa miaka sasa
Top of Form
May 16 · Like · Bottom of Form
Asifiwe Alinanuswe mbunge wetu tulimpitisha kwa kishindo,, rais wetu tukampa kula, diwani akajpitia kiulaini,, nitahakikisha watu wanasafiri kwa tax toka kusini kwenda kaskazini,,,,
May 16 at 1:07pm
 
Adam Gwankaja Eeee@Asifiwe si ndo kama hivi twasafiri kama hivyo!
May 16 at 1:40pm
Last Hisia Kali ‎....Halafu mkishatushibisha leteni kelele zenu kwa wingi ztubembeleze!!....huwa tunapata usingizi mzuuri kweli kweli wala hata hatuoni bughudha!!.....na kiitikio chetu kitakoleza na kupambiza vema kelele zenu za kubembeleza.....NAKUPENDA TANZANIA!!!
May 16 at 2:09pm ·
Asifiwe Alinanuswe haya ndugu,, by the way magari yamekuja late sana sisi ni watembeaji
May 16 at 8:10pm ·
Adam Gwankaja ukikumbuka HELCOPTER za CCM na CHADEMA zilivyokuwa zikipasua anga wakati wa kampeni, unaweza usiamini kwamba ni hapa hapa nchini ziliko barabara za aina hii! TUTAFIKA TANZANIA
May 16 at 9:38pm
Baraka Loya Mwambipile Ndio maana naipenda sana hii nchi yangu ya TANZANIA, maana tunaishi kwa zimamoto tuuu!!!. Itafika kipindi cha uchaguzi 2015 na tutaambiwa yaleyale tuliyoambiwa 2010 tutakubali na hawa wasanii wanasiasa. Tutakuwa tumesahau kama kuna kipindi barabara zetu ilikwa zina geuka kuwa mito kama hivyo kwa ajili ya kula yao. Tutafika tuu japo kwa kuchelewa sana wandugu.
May 16 at 10:49pm
Steven Mwakasitu jamani bro Adam, usinikumbushe siku ambayo nililala hapo Barabarani nikitokea Mtwara. kati ya siku nilizowahi ona tabu ni hiyo basi
May 17 at 9:12am
Maria Namusoke Jamani, is this a road or a pond,sijui nini sasa!!!
May 17 at 4:33pm ·
Asifiwe Alinanuswe had it been a pond we would go fish,,, its xxxxxxxxxxxxxx mmh @Baraka wanaacha ivo ili waje waombee 'kula' tena mwana,, Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote! nchi yangu jina lako ni Tamu saaaaaaaaaanaaaaaaaaaaaaaa
May 17 at 4:38pm
Baraka Loya Mwambipile ‎@Asifiwe, kuna umuhimu wa kuwa na kumbukumbu, wamezidi kududanganya na tabia za kuacha mambo mpaka wakati wa kampeni ukikaribia, inabidi kuwawajibisha mapema.
Kipindi hiki sina uwezo wa kuimba wimbo wote wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote, nchi yangu Tanzania............., ninadhani niwengi hatuukumbuki wote. Swali ni je siku hizi hatuipendi Tanzania?
May 17 at 4:46pm
kwa kiwango cha elimu watoayo sidhani kama watu wanakumbuka,, @Baraka hawa jamaa achana nao,, uzuri wake ni kuwa hakuna awezae kukufundisha uzalendo, tazama hata wimbo wa uzalendo kama huo huukumbuki maana sekondari hukuimba, primary sijui,,, hata waliomba ndo hao tuliowapa jina zuri UFISADI,, hatutakumbuka kama walituahidi barabara maana watatujaza kanga, scarf, kofia na pombe kidogo then tunatia kwa moyo mmoja kwenye kapu la ccm na kama hatujatia wanachakachuaaaaaaaaa
May 17 at 5:02pm
Niliimba sana s/msingi na secondary, lakini huku mbele sijajengewa mazingira ya kuukumbuka. Nakumbuka zamani ikiwa sehemu inapandishwa ama kushushwa kwa bendera ya taifa lazima usimame, popote pale. lakini siku hizi ni kama zimebakia sehemu...See More
May 17 at 5:11pm
Ngojeni kwanza tuwaelimishe wananchi kuhusu hii dhana ya kujivua gamba. Maana wapinzani wanapotosha. Tukiona imeeleweka ndio tutageukia hili la maendeleo ya barabara. Kwa sasa tutaendelea kujibu mapigo ya hizo mnazoita tuhuma ya maendeleo duni mfano kwenye miundombinu kupitia vyombo vya habari na kupigana vita dhidi ya rushwa kupitia majukwaa, kama tulivyoelekezana kule dodoma hivi karibuni nadhani wote mnakumbuka maana kakipindi kakipita kidogo watanzani hawakawii kusahau. Yote katika yote, tumejitahidi sana kulinda tunu zetu walizotuachia waasisi wetu. Yaani AMANI, UPENDO NA MSHIKAMANO baina ya watanzania wote. Jamani hamuoni sisi tuko juu kuliko wenzetu?? Hatufanani na Somalia, Libya na sehemu nyingi tu za bara hili. Mkichezea tunu hizi yatawafika kama ya Libya na somalia!!
May 17 at 6:15pm ·
Ndugu wananchi mbona hamna msimamo? Kukiwa na ukame mnalia, ikinyesha mnalia, mabwawa yakiwa mbali na barabara mnalalamika eti hooo tunatembea umabli mrefu kufata maji sijui vp!! Jamani!!!, tukiweka hapohapo barabarani ndio mnapiga na picha na kuweka mpaka fesibuku kama hivi na komenti nyingi za ajabu ajabu!! Mnajua kabisa kwamba serikali yenu hii ni sikivu sasa isikie lipi na ifanyie kazi lipi. Pamoja na juhudi zoooote hizi za kumpunguza makali waziri wetu wa ujenzi na spidi yake ya kukausha mabwawa kama haya, lakini wapi!! Watz mfanyiwe jema lipi ndio mshukuru!!?
May 17 at 6:22pm · Unlike · 1 person

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP