Pekua/search

Saturday, May 7, 2011

Literature and life:oh literature has made the today's me

Literature!oh literature has made the today's me. Ningeishije leo mimi!?. My gratitude be to all who have illuminated my way along this study kuanzia dada Tusweghe (RIP) who taught me kiswahili sayings, nahau na mithali, to Ms Dulle with her class readers and Tselestino Mwang'onda (Okonkwo), Kayuni (Ikemefuna), mr.Mvera to Koroga Korogoa Adamu, Njozi na Maselle wa Barra!  
By Adam GwankajaTop of Form

Mwasakafyuka Samson Ni vyema kutazama tulikotoka na kuwakumbuka wale waliotufikisha hapa. . . . . ! Bahati nami nimwanafunzi wa fasihi andishi ktk kiswahili, japo sikufika nayo mbali. .ila fasihi inajua kumfinyanga mtu. Nimekua imara kwakua niliandaliwa kuwa hivyo.
Adam Gwankaja ‎@Mwasak... We acha tu! I huenda ningesoma uhandisi ningepata A, ila akili yangu ingekuwa kama limashine fulani hivi aka liroboti!katika shule yangu ya kuungaunga kwa kamba, fasihi nilikuwa napata C tu, ila imeniumba! Jana @Asifiwe amenikumbusha, songs of lawino 'the last safari tu Pagak' mweeeeee! Mh!
Mwasakafyuka Samson Song of lawino, song Of Ocol, The river between, The Great pond, Is it possible , The African Child, things fall apart, Shida, Kuli, Harakati za ukombozi, kusadikika , Ngoswe. . . Etc. ! Nini unataka, ni kazi za wafinyanga ubongo, wametuumba.
Dear God,bless this boy Mwasa, anaongea maneno huyu. Ongeza Hawala ya Fedha, kumbuka big names kina Amandina Lihamba, sijui Penina Mlama, usisahau msingi wa Richard Mabala na Mabala ze fama na Hawa ze Basi duleva zilizotuandalia utangulizi wa kusoma vitabu vya fasihi; usiache Petals of Blood, the Trial of Dedan Kimaathi na ile ya braza Jero! A man of ze pipo hadi Enemy of ze pipo! I will marry when I want na God beats of wood, mine boy cha peter abrahams na women at point zero, watunzi kina Tsitsoi Dangarembaga na Eliehi Lema na Patched earth yake! Wee Ibrahm hussein na Majimaji! Usisahau the wreath of flowers na Rwanda magere! Eti the Gathering storm na Quo vadis Tanzania ya prince Kagwema! Ningekuwaje mimi bile haya na mengine mengi?
Hahaah, usisahau The blood petal by Ngugi wa Thiong'o, ktk yote Shafi Adam shafi mwishoni anakwambia, Yana mwisho haya, Ndyanao Balisidya yeye alikua na Kiwi cha Macho, Ni mambo magumu kufikiri, fasihi ni maisha. Fasihi ni roho, bado inaishi nasi, inatutia moyo kuwa Kina Clementina wanapungua, wanatambua thamani yao. . ! The Mine boy, moja ya riwaya kongwe na Murua, Mabala, alikua na Kingereza chake rahisi, utapenda kumsoma ! JE kalulu The Hare, hahaah, all goodthings they come to an end .
Bernard Elias Adam, ila this guy Dr. Maselle wa Balla is so special to we ex-literature people. He made life to be so possible.
Adam Gwankaja Kweli kabisa kaka. Nimeonana naye juzi nikampa mrejesho kuhusu jinsi DECONSTRUCTION THEORY inavyonibeba katika maisha haya, akacheeeeeka na kusema, "Nashukuru Adam, hii inanipa somo kwamba inabidi tufundishe VITU VINAVYOBEBEKA! mwaka huu nitautumia mrejesho huu"
Mwacheni Bara Masele aitwe Bara masele katika critical thinking in literature. Namkumbuka pia mwanazuoni huyu maana nilibahatika kupita katika mafundisho yake ya fasihi. hata hivyo, sijamsahau Dr.Lilian Osaki (African Literarature), Dr. Hamza Njozi (Modes of existence of the works of art),Dr. Korogoa wa Korogoto and Fuge Man (meaning and analysis in literature) na Mr. Majembe (professional intnl communication in english). they truly helped to pave our patterns of thinking.
Adam Gwankaja Patamu hapo. Hiyo timu ni nouma, nadhani ndiyo iliyoumiza vichwa na kuja na ile kitu iliitwa TANZANIAN LIT IN ENGLISH, tukashangaa kumbe kuna mijitabu kibaaaaao iliyoandikwa na waTz ilhali kweli mtaala wa shule tumejaza vya kenya na afrika maNgharibi!!!!
Bottom of Form

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP