DKT. MWAKYEMBE, UWAJIBIKAJI NA BEZO ZA KUJITAFUTIA UMAARUFU

Mwakyembe ameanza kung'ara na kua maarufu kabla hata hajawa mbunge..sifa za mwakyembe nimeanza kuzisikia nikiwa kidato cha tano yy akiwa mkufunzi pale UD,mijizi ndo inambeza lakini thank God Mwakyembe anawakomesha hasa wale wa ATCL waliopeana vyeo na ajira kipumbavu jazz band......safiiii mwakyembe tupo pamoja hao wapumbavu wachache wasikunyime usingizi tena majungu yao yaone kama piriton ya kukupa usingizi mnono..." .. Chatry Mbonde akichangia. FuatiliA mjadala FACEBOOK
0 comments:
Post a Comment