Pekua/search

Thursday, July 12, 2012

Kwanini Sophia Simba Anampongeza Rose Kamili kwa kumpinga Slaa Kuoa?

 
Kwanini Wanampongeza Rose Kamili kwa kumpinga Slaa Kumwoa Josephine Mushumbusi?

  • Je ni kwa sababu wanaunga mkono harakati za mwanamke mwenzao kulinda ndoa yake? 
  • Je ni kwa vile wanamtakia mema Rose Kamili? 
  • Je ni kwa kuwa wao ni makada wa CCM na wanaamini kuwa kesi hii itamfunga spidi gavana ndg .Slaa katika kukimbiza chama chao?
 
CAPTION INASOMEKA: "Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba na Mbunge wa Viti Maalum (CCM), Ester Bulaya wakimpongeza Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Rose Kamili (kulia) katika Viwanja vya Bunge jana baada ya kupata taarifa kuwa Rose amefungua kesi ya kuzuia ndoa ya aliyekuwa mumewe, Katibu Mkuu wa Chadema,Dk Willibrod Slaa inayotarajiwa kufungwa Julai 21. Picha na Edwin Mjwahuzi" chanzo: http://www.mwananchi.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/24703-ndoa-ya-slaa-njia-panda.html

2 comments:

Asifiwe July 14, 2012 at 8:47 AM  

si huyu Sophia aliwahi sema kama mumeo si ccm usimpe unyumba? what else do you expect of her?

Adam July 15, 2012 at 10:59 PM  

Ni kweli kabisa. Hizi harakati na uchama chama sijui tutaishia wapi nazo

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP