Pekua/search

Wednesday, July 11, 2012

Majeshi ya Uingereza Yazamisha Meli ya Kivita ya Wajerumani mto Rufiji


Majeshi ya Uingereza Yazamisha Meli ya Kivita ya Wajerumani mto Rufiji: Ni Leo (Julai 11) katika Historia yetu


Mwaka 1915, katika mto Rufiji, Waingereza waliizamisha meli ya kivita ya Wajerumani iliyojulikana kama KONISBERG. Meli hiyo ya kivita ilikuwa ikitumia mto Rufiji kama maficho yake. Izingatiwe kwamba hii ilitokea kama sehemu muhimu ya pilika pilika za Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.
Unajiuliza; kumbe mto rufiji ulitumika kupitisha meli! Je kwanini hautumiki sasa? Je ni kwanini hawa wadudu (Wajerumani na Waingereza) walipambana sana huku kwetu? Je mapambano ya hivi sasa nani anapigana? Je mvutano wa mataifa ya magharibi na Wachina utaishia wapi? Nini nafasi yako? NauliSA tu! kufahamu zaidi bonyeza HAPA.http://suite101.com/article/the-sms-konigsberg-and-lettowvorbeck-a176853

Jimeli hilo likiwa mto rufiji mwaka 1915!!!! Leo hata boti hatuna, au?


0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP