Pekua/search

Thursday, January 31, 2013

UJASIRI WA KIFARANGA: Anayakana mazingira ‘mazuri’ kuUtafuta uhuru.




UJASIRI WA KIFARANGA: Anayakana mazingira ‘mazuri’ kuUtafuta uhuru.

Naam, tunahitaji ujasiri wa kifaranga (kama mtu binafsi na taifa). KIFARANGA Anayakana mazingira mazuri (ndani ya yai) yaliyomlea. Inafika wakati Anaamua kutoka nje na kuutafuta uhuru wa kweli, liwalo na liwe- vicheche vipanga mwewe nk...lakini huko ndiko inakopatikana fursa ya kumfanya kuwa KUKU halisi.

Wengi wetu nchini Tanzania tumenufaika kwa namna mmoja ama nyingine na Mfumo OZO uliopo...lakini tumuige kifaranga sasa...tusiendelee sana ndani ya ya yai!  Tunie kuubadili mfumo huu kwa dhati ya nafsi zetu. INAWEZA KUTIMIA. TUKITAKA KWA DHATI KABISA.

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP