Pekua/search

Wednesday, April 10, 2013

Ingekuwa vipi Rais Kikwete angewalabua vibao Dkt Kawambwa na Mulugo kwa matokeo mabaya kidato cha nne 2012? Tafakari adhabu ya viboko shuleni.


Imepigwa kutoka kwenye kijitabu cha Twaweza- Adhabu ya viboko.

Ingekuwa vipi Rais Kikwete angewalabua vibao Dkt Kawambwa na Mulugo kwa matokeo mabaya kidato cha nne 2012? Tafakari adhabu ya viboko shuleni.

Mhe. Mulogo na Viboko vyao.
Ingekuwa vipi Rais Kikwete ANGEMLABUA kibao Dkt. Kawambwa, au Mulugo kwa 'kufelisha wanafunzi???'. SI VIBOKO NI MUHIMU KTK KULETA UFANISI? Shukrani Twaweza kwa katabu haka kanakofikirisha.
 
Emmanuel Mwakyusa UMEONAAA hapooo hakuna akitu kinaendaa kitumwaa kitumwaa viboko kwa mwananfunzi vinafaa inapohusu sioo njiaa pekee ya kujengaa jamii boraa kwani hataa wakikuaa watahitaji viboko kutoendeshaa garii taa zikiwakaa nyekunduu unakuwa unawafundishaa nidhamu ya wogaa badalaa ya nafs ya kuuuliza na kuelewaa nini hasaa wanatakiwa kufanyaa

Adam Gwankaja haswaaaaaaaaaaaaaa...

Emmanuel Mwakyusa hatupingi vibokoo vinaa vigezo na mashart tenaa visizoelekee ilaa vitumikee kwa kiasi na sababu lakini kama walimu hawalipwi vitabu hakunaa mitaalaa mibovu na mawaziri hawajui hataa MUUNGANO wa nchi yaoo muwatwike viboko wanafunzi kwa misingi ipi hasaaaaa ?

Kusoma michango zaidi katika mjadala huu Facebook bonyeza HAPA

0 comments:

SUBSCRIBE- Andika email yako hapa utumiwe habari mpya

Enter your email address:

Delivered by FeedBurner

  © Blogger templates 'Neuronic' by Ourblogtemplates.com 2008 modified by Subi nukta77

Go Back to TOP